MuzikiVideos

Tommy Flavour aachia video mbili kwa wakati mmoja, #LayDown na #Kidogo (+ Video)

BRAND NEW VIDEO: Staa wa muziki wa Bongo Fleva kutoka lebo ya #KingsMusic #TommyFlavour ameachia video mbili za ngoma zake asumbuhi ya leo.

Siku ya jana alitangaz akupitia mitandao yake ya kijamii kuwa video hizo zitatoka saa tano asubuhi na ilipofika muda huo ngoma hizo zilitoka.

Video ambazo ni Tommy Flavour ameziachia niĀ  #LayDown na #Kidogo. Tayari zipo kwenye akaunti yake ya YouTube.

Nakuwekea link hapa chini kuzitazama.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents