Bongo5 ExclusivesBurudaniHabariMuziki

Tommy Flavour x Tanasha Donna ngoma kesho #Numero Uno

Kesho ndio siku iliyotangazwa na mkali wa RnB kutoka lebo ya @kingsmusicrecords @tommyflavour kuwa ataachia ngoma yake ya #NUMERO UNO aliyomshirikisha msanii kutoka nchini Kenya @tanashadonna

Hapa walikuwa studio wakiwa na #Yogo wakati wanaipika.

Dondosha comment yako hapa chini kwamba unategemea ngoma ya aina gani kwa unavyowafahamu wasanii hawa.

Related Articles

Check Also
Close
Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents