Habari

Trump aonekana kwa mara ya kwanza baada ya kunusurika kifo (Video)

Rais wa Zamani wa Marekani ambaye yupo kwenye kampeni za kutaka kurudi madarakani tena Dolnad Trump ameonekana hadharani tena kwenye jamaa baada ya kunusurika kifo.

Trump ameonekana akiwa amefunga bandeji sikio lake la kulia baada ya kupigwa risasi siku ya Jumamosi.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents