HabariSiasa

Trump tayari ameshakamatwa baada ya kujisalimisha

Donald Trump ni rais wa kwanza wa zamani wa Marekani kukamatwa kwa tuhuma za uhalifu.

Anafikishwa katika Mahakama ya Jinai ya Manhattan New York kwa mashtaka ya uhalifu yanayosemekana kuhusiana na malipo ya pesa yaliyofanywa kwa nyota wa filamu za watu wazima (ngono) Stormy Daniels mnamo 2016.

Trump tayari ametiwa mikono baada ya yeye mwenyewe kujisalimisha baada ya kukutwa na makosa.

Written by @el_mando_tz

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents