Michezo

Tumejipanga kuondoka na ushindi dhidi ya Al Ahly- Matola (+Video)

”Sio mechi rahisi, ni mechi ngumu ukichukulia kwamba tulipata matokeo kwenye mechi iliyopita, na ukiangalia hii ni Ligi ya Mabingwa hakuna mtu mrahisi hivyo ni mechi ngumu, lakini tumejipanga kuhakikisha tunapata matokeo kwenye mchezo wetu wa nyumbani,”- Kocha Selemani Matola

Related Articles

Check Also
Close
Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents