Michezo
Tunakushukuru kwa mchango wako – Simba SC yamtakia kila laheri Bernard Morrison
Klabu ya Simba SC imemshukuru mchezaji wake nyota Bernard Morrison kwa mchango wake kwa kipindi chote alichokuwa akihudumu timu hiyo ya Msimbazi.
Kusoma kwa kina taarifa hii swap picha hapo juu.