Bongo5 ExclusivesBurudaniHabariMahojiano
Tundaman: Manara afungiwe tu mdomo umezidi sana
Staa wa Bongo Fleva na mkali wa ngoma ya Badman @tundamantz ametoa mtazamo wake wakati akifanya mahojiano na @el_mando_tz baada ya kuulizwa akiwa kama mdau wa soka nchini.
Kufungiwa kwa msemaji wa Yanga @hajismanara kunaleta effect yoyote kwenye soka hapa nchini??
Baada ya kuulizwa na @el_mando_tz Jibu la Tunda: mi naona afungiwe tu mdomo umezidi..
Kwako wewe mtazamo wako kama Tundaman au una mtazamo tofauti?? Na kwanini??