BurudaniHabari

Tuzo za Music Tanzania ‘TMA’ zaja na mabadiliko, kuonyeshwa MTV & BET

Siku ya leo Katibu Mtendaji wa Baraza la Sanaa la Taifa BASATA Dkt. Kedmon Mapana @kmapana pamoja na kamati ya Tuzo za Muziki Tanzania wamezungumza na waandishi wa habari kubwa zaidi ni kuhusu Tuzo za Muziki wa Tanzania ambapo kwa mwaka huu zitafanyika kwa namna ya tofauti huku zikirushwa kupitia MTV NA BET kama Highligts

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents