Habari

Ubalozi wa Marekani nchini Tanzania umetoa wito kwa raia wake kurejea Marekani kisa Corona

Ubalozi wa Marekani nchini Tanzania umetoa wito kwa raia wake kurejea Marekani, kufuatia uwepo wa maambukizi ya virusi vya #COVID19. Wote wanaotaka kuondoka wametakiwa kufanya hivyo mapema kwani hadi kufikia Machi 29, 2020 Shirika la Ndege Ethiopia litakuwa shirika pekee lenye ndege za kutoka nje ya Tanzania.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents