Habari
Uchaguzi wa Ubunge Buhigwe
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Mpango, akipiga kura katika kituo cha kupiga kura wilayani Buhigwe mkoani Kigoma leo, Mei 16,2021 kwa ajili ya uchaguzi mdogo wa ubunge wa jimbo la Buhigwe.