Bongo5 ExclusivesHabariMahojiano

Ufanisi wa Bandari ya Mtwara waongezeka

Kufuatia maboresho yaliyofanyika kwenye Bandari ya Mtwara , meli kubwa za mizigo zimefanikiwa kutia nanga kwenye bandari Hiyo na kuondoka na Shehena ya Tani elfu 80 ya korosho pamoja Kuleta viuatifu kwaajili ya zao Hilo.

Kaimu Meneja wa Bandari ya Mtwara Bw. Norbert Kalembwe amesema ufanisi wa Bandari ya Mtwara umeongezeka zaidi Baada ya Serikali kufanya maboresho yakiwemo kuongeza gati ya nyongeza yenye kina cha Mita 300.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents