Habari

Una mtazamo gani kuhusu mapokezi ya Tundu Lissu

Picha mbalimbali mapokezi ya Mwenyekiti Mpya wa CHADEMA Mhe. Tundu Lissu nyumbani kwao Ikungi, Singida.

Makundi mbalimbali ya wanachadema walisafiri kumsindikiza Lissu nyumbani leo kutoka Dodoma, Morogoro, Mwanza, Mara na Mbeya.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents