Habari
UTEUZI: Wakuu wa Wilaya wapya 37, wengine 48 wabadilishiwa vituo
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wa wakuu wa Wilaya Wapya 37, kuwahamisha vituo vya kaziĀ wakuu wa Wilaya 48 na wengine 55 kubakia kwenye vituo vyao.