“Fiesta 2022 kibabe zaidi” Adam Mchomvu wa XXL akiingia makubaliano na Ping Tanzania
Ni habari njema tena kwa wapenzi wa burudani nchini Tanzania baada ya taarifa ya uwepo wa Tamasha kubwa la burudani Tanzania Fiesta 2022.
Hayo yamebainishwa na Mtangazaji @adamchomvu wa XXL ya Clouds Fm wakati wakisaini makubaliano na kampuni ya usafirishaji ya @ping_tanzania .
Mchomvu amewataka mashabiki wa burudani kuendelea kusikiliza kipindi hicho kwaajili ya madini mengi.