Habari
Video: Msemaji wa Serikali Gerson Msigwa akizungumzia Chanjo ya Corona, Tozo za simu
Msemaji wa Serikali Gerson Msigwa amezungumzia mipango ya serikali katika kupambana na ugonjwa wa Corona huku mengine yakiwa ni maendeleo ya miradi n swala zima la tozo ya miamala ya simu.