Watoto wa Remmy Ongala wakiongozwa na dada yao, Aziza Ongala wametangaza rasmi tamasha la ‘Ongala Festival’ litakalofanyika Novemmba 24-26, 2023 lenye lengo la kuendeleza ndoto za baba yao na kazi za musiki.
Watoto wa Remmy Ongala wakiongozwa na dada yao, Aziza Ongala wametangaza rasmi tamasha la ‘Ongala Festival’ litakalofanyika Novemmba 24-26, 2023 lenye lengo la kuendeleza ndoto za baba yao na kazi za musiki.