Afya
Video: Serikali izingatia mazingira ya Kitanzania kuamua kuweka au kutokuweka Lockdown – Prof. Said Aboud M/Kiti wa Kamati
“Serikali iendelee kuzingatia mazingira ya Kitanzania katika udhibiti wa ugonjwa wa COVID-19 katika kuamua kuweka au kutokuweka shuruti ya kujifungia (Lockdown) na kuwa na ubunifu ili kuruhusu ukuaji wa uchumi”- Prof. Said Aboud M/Kiti wa Kamati