HabariMichezo

VIDEO: Simba yatua Dar kimya kimya wakitokea Zambia

Simba watua Kimya kimya Jijini Dar es Salaam wakitokea Zambia kwenye Mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika.

Mnyama anarudi nyumbani tayari kwaajili ya Ligi Kuu pamoja na Kumuwinda Power Dynamos katika mechi ya marudiano itakayopigwa mwezi Oktoba baada ya juzi kutoka sare ya goli 2-2 nchini Zambia.

 

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents