Waziri wa Fedha @mwigulunchemba amefafanua mjadala unaoendelea kuhusu Bajeti Kuu ya Serikali 2021/22 baada ya kuibuka sintofahamu kuhusu umri wa miaka 18 na ulipaji wa kodi.
Hayo yamejiri kwenye mjadala wa Bajeti Kuu ya Serikali ambao unaendelea kupitia mitandao ya kijamii.