Burudani
VIDEO: TID afunguka haya kuhusu Chid Benz ” Nikabidhiwe nimnyooshe aache Madawa”
VIDEO: TID afunguka haya kuhusu Chid Benz " Nikabidhiwe nimnyooshe aache Madawa"
Nguli wa muziki wa kizazi kipya alimaarufu Bongo Fleva Khalid Mohamed a.k.a TID amefunguka mengi kuhusiana na muziki wake pia kuhusiana na changamoto alizozipitia kuhusu matumizi ya madawa ya kulevya.
Msanii huyo amefunguka na kusema kipindi anatumia madawa ya kulevya alipoteza vitu vingi sana na anatamani kukabidhiwa rungu la kuwarekebisha wanaotumia madawa ya kulevya na alimtolea mfano Chid Benz.
By Ally Juma.
Kieehhh
cool
Sawa
Yeye pia teja anaanzaje kumnyoosha mwingine
Mshukuru Mungu kaka nawewe saizi tungesha kuzika msaidie na mwenzio
Mbn hata ww ni mkongwe kwa unga ishu ni kumuombe Kingkong na siyo Kumdharirisha
BEST RAPPER CHIDBENZ
Hahahahaha
We mwenyewe madawa utamsaidia vipi madawa au kumpa dozi kila asubuhi na asiende kukaba.
Yajayo yanafurahisha
We mwenyewe teja
Ha ha ha aaaaaaa TID
a kettle calling a pot black. kwani huyo TID ni msafi vipi?
,hiyo picha ya TID
Daaah ni ya kitambo mno na staili hiyo aliuza sana kwenye mabango ya makampun mbalilmbali ya matangazo
😩😩😩😩😩