Michezo
Video: Yanga watamba, wataja Paka na pira biriani Zanzibar (+Video)
Mashabiki wa klabu ya Yanga wasisitiza leo Mnyama Simba SC hatoki hapa uwanja wa Amani Visiwani Zanzibar katika mchezo wa Fainali ya Mapinduzi Cup
Bongofive tunakuletea #Live matukio na vituko mbalimbali vya mashabiki hao kutoka Uwanja wa Amani Zanzibar, Ingia YouTube kisha andika Bongofive.