Burudani

Vituko vya Mwijaku na Baba Levo wabebana uwanja wa ndege wakibishana (Video)

Wawili hao wamesafiri na team ya @wasafibetofficial_ kwenda Qatar kushuhudia michuano ya kombe la dunia kupitia kampeni ya Wasafi Bet.

Baba Levo na Mwijaku walianza kubishana uwanja wa ndege jijini Dar Es Salaam na kuanza kubebana.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents