CEO wa TOO MUCH MONEY na MADUKA YA VUNJA BEI @feed_vunjabei ameeleza na kujibu kuhusu wanaodaiwa kupata hasara kuuza jezi za Simba.
Akiongea na @el_mando_tz ameeleza kuwa kwa sasa anatanua wigo kufanya kimataifa na timu kubwa na ameanza na vilabu vya Kenya.
Link hii hapa chini.