Baada ya show ya msanii kutoka nchini Nigeria Oluwatobiloba Daniel Anidugbe alimaarufu Kizz Daniel kushindikana usiku wa Jana katika ukumbi wa Were House zamani kama Next Door Arena waandaaji wa show hiyo wameamua kutoa Tamko hili.
Kupitia mitandao yao ya kijamii wameandika waraka huu