Wabunge Lema na Nassari kuunguruma Takukuru
Mbunge wa Jimbo la Arusha Mjini na Mbunge wa Arumeru Mashariki Joshua Nassari, wamesema watakwenda kumuona Mkurugenzi wa Takukuru , Valentino Mlowola ili kumpa ushahidi wao kuhusu tuhuma za rushwa kwa madiwani waliokihama chama hicho na kuhamia CCM. Lema na Nassari wataenda kutoa ushahidi kuhusu madiwani 7 waliojiuzulu katika majimbo yao wanaowatuhumu kupokea rushwa ili … Continue reading Wabunge Lema na Nassari kuunguruma Takukuru
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed