“Wakusanya kodi wa TRA wafungwe kamera kama Kenya” Mchambuzi wa Uchumi, Walter
Ameyasema hayo Alhamisi hii wakati akiichambua Bejeti Kuu ya Serikali 2021/22.
Licha ya kushauri baadhi ya mambo, Walter amesema bajeti hiyo imejitika kurahisisha maisha Watanzania.
Kuangalia mahojiano yote tembelea YouTube ya BongoFive