Habari
Walimu wenye malimbuikizo ya mshahara wasilikilizwa Handeni

Maelfu Ya Walimu Wenye Kero Mbalimbali wamejitokeza Kliniki Ya Walimu Na Samia Wilaya ya Handeni Mkoa Wa TANGA Kusikilizwa Na Kikosi KAZI Kutatua Kero zao

Kliniki hiyo inaratibiwa na chama cha walimu Tanzania (CWT) kwa kushirikiana na ofisi ya Rais utumishi, Tamisemi na tume ya utumishi wa walimu nchini
Hadi sasa kliniki hiyo imetembea mikoa 24





