AfyaHabari

Wanakunywa Supu ya Pweza- Rais Samia acharuka (+Video)

Rais Samia alia na lishe nchiniĀ  ”Wanakunywa Supu ya Pweza, tuna tatizo na mnalijua mnalificha, watafiti fanyeni utafiti, tuna tatizo na tatizo hili kwa sababu halisemwi ni siri linaumiza zaidi vijana wetu.”

”Mara udongo wa Kongo, lakini tatizo kubwa lipo kwenye Lishe, tatizo letu lipo kwenye lishe sasa watafiti tafuteni tunafanyaje watoto wetu wawe ‘Shababi’, waweze kuzaa watoto wenye Afya.”

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan aliposhiriki hafla utiaji saini Mkataba wa Usimamiaji wa Shughuli za Lishe leo tarehe 30 Septemba, katika Jengo la Kitega Uchumi jijini Dodoma.

Related Articles

Check Also
Close
Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents