Bongo5 ExclusivesHabariTechnology
Washindi wa #Gonanmb Fantasy League wamepatikana
Washindi wamepatikana, mkwanja umetoka na tabasamu kama loteee😁🔥🔥
Mwakilishi wa Alphonce Mkilanda ambaye ni mshindi wa pili wa @gonanmb Fantasy League ametinga mjengoni, huku mshindi wa tatu (Naseem Kajuma) na kwanza (Stuart Havertz) wakiwakilishwa na wafanyakazi wa benki yetu kupokea mfano wa hundi wa mkwanja mnene💸💵
Michongo iendeleee…..