Klabu za Simba na Yanga ni miongoni mwa timu kongwe barani Afrika na zilizojijengea ufalme mkubwa na kuzoa mashabiki wengi hali iliyopelekea kuwepo na utani wa jadi baina ya miamba hii miwili ya Kariakoo. Msanii wa vichekesho Bambo akiwa na Abbas Pira wakiigiza kama mashabiki wa Simba na Yanga na kutambiana.
Join our mailing list to get the latest news!
Related Articles
Check Also
Close
-
MUSIC VIDEO: Jay Malley – BABYFebruary 24, 2024 - 4:33 pm
-
MUSIC VIDEO: Alonto -UNANIONEAFebruary 20, 2024 - 10:39 am