Michezo

Wazee wa Yanga DSM waja na tamko hili (Video)

Wazee na wanachama wa klabu ya Yanga leo wakiwa Makao Makuu ya klabu ya Yanga Jangwani wametoa msimamo wao juu ya mchezo wa Dabi dhidi ya Simba ulioahirishwa mnamo tarehe 8/3/2025.

Kuangalia video kamili tembelea ukurasa wetu wa YouTube Bongo5

 

 

 

 

Imeandikwa na kuandaliwa @Johnbosco_mbanga

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents