Habari

Waziri Mavunde kwenye Uzinduzi Geita

Waziri wa madini, Mhe. Anthony Mavunde akikata utupe katika uzinduzi wa tawi jipya la benki ya Stanbic Tanzania, Geita. Kushoto kwa Mhe. Anthony Mavunde ni Martin Shigela, mkuu wa mkoa geita na kulia kwake ni Fredrick Max, Mkuu wa kitengo cha biashara benki ya Stanbic.

Mhe. Anthony Mavunde, Waziri wa Madini, akisaini kitabu cha wageni katika hafla ya uzinduzi wa tawi jipya la benki ya stanbic tanzania mkoani Geita. Wengine kwenye picha ni Omari Mtiga, Mkuu wa Kitengo cha Wateja Maalum na wateja binafsi, Fredrick Max, Mkuu wa Kitengo cha Biashara, pamoja na Geoffrey Kondo, Meneja wa Tawi la Geita.

Mhe. Anthony Mavunde, Waziri wa Madini, akikabidhiwa rasmi madawati 200 pamoja na miche 200 ya miti kutoka kwa Benki ya Stanbic katika hafla ya uzinduzi wa tawi jipya la Geita. Pembeni ni Mkuu wa Mkoa wa Geita, Mhe. Martin Shigella.

Meza kuu ya hafla ya uzinduzi wa tawi la Stanbic Bank Geita ikiongozwa na Mhe. Anthony Mavunde (Waziri wa Madini), Mhe. Martin Shigella (Mkuu wa Mkoa wa Geita), pamoja na Fredrick Max (Mkuu wa Kitengo cha Biashara – benki ya Stanbic Tanzania).

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents