Siasa
Waziri Mkuu azuru kaburi la hayati Magufuli Chato
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akishirki sala fupi ya kumwombea aliyekuwa Rais wa Tanzania, Hayati Dkt. John Magufuli kwenye kaburi la lake wilayani Chato mkoania Geita.
Kushoto ni Mama Janeth Magufuli na aliyepiga magoti ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Jenista Mhagama.