HabariMichezo

Waziri Ndubaro atoa baraka zake timu ya Pazi

Siku ya leo Waziri wa Michezo Sanaa na Utamaduni Mhe. Damas Ndubaro @damasndumbaro_official amezungumza na wana habari alitoa baraka zake za timu ya mpira wa kikapu ya @pazibasketball

Timu hiyo inatarajiwa kusafiri kuelekea Afrika Kusini kwa ajili ya kuchezo michezo ya mtoano kwa ajili ya kukata tiketi ya kwenda Rwanda kwenye michuano ya Kikapu Afrika.

Mbali na hilo @damasndumbaro_official amepewa jezi kama zawadi na timu hiyo.

Video nzima ipo katika akaunti yetu ya YouTube ya Bongofive.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents