Michezo

Yanga na wachezaji wanne tu leo hii

Updates 👇

➡️ Yanga ina wachezaji wanne tu (Substitutes) kwenye mechi ya kirafiki hii leo dhidi ya Singida Black Stars

✅ Farid, Nkane, Isra na Mshery

➡️ Aziz KI na Yao ni majeruhi, Mwamnyeto amepata matatizo ya kifamilia huku wachezaji wengine wakiwa kwenye timu zao za Taifa.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents