
Kupitia mitandao yao ya Kijamii, Uongozi wa Yanga umethibitisha kumalizana na aliyekuwa Kocha wao mkuu Nasreddine Nabi . Yanga ipo kwenye mchakato wa haraka wa kutafuta Kocha mpya atakayekuja kubeba mikoba ya Nabi.
Kupitia mitandao yao ya Kijamii, Uongozi wa Yanga umethibitisha kumalizana na aliyekuwa Kocha wao mkuu Nasreddine Nabi . Yanga ipo kwenye mchakato wa haraka wa kutafuta Kocha mpya atakayekuja kubeba mikoba ya Nabi.