Michezo

Yanga watolewa Mapinduzi Cup na Azam FC

Mabingwa watetezi wa Michuano ya Kombe la Mapinduzi Young Africans wamevuliwa Ubingwa na Wanalambalamba Azam FC kwa njia ya mikwaju 9 kwa 8.

Yassin Mustapha akikosa penati na kuwazawadia Azam FC ubingwa baada ya penati ya mwisho ya Mudathir Yahya kuingia kimyani

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents