Habari

Yesu aonekana Ufaransa kwenye jengo la kanisa katoliki lililoteketea kwa moto, Wadau wapingana mitandaoni

Mwanamama Lesley Rowan amejikuta akizua gumzo kwenye mitandao ya kijamii duniani baada ya kuposti picha ya Jengo la kanisa la Notre Dame lilivyokuwa linaungua na kuonesha muonekano wa picha iliyozua sintofahamu.

Mwanadada huyo, amesema kuwa alivyoona picha za kanisa hilo likiungua yeye aliona picha ya ajabu kwenye moto huo ambayo aliamua ku-share kwenye ukurasa wake wa Facebook na kuomba maoni ya wadau kama nao wameona kitu alichokiona.

¿I may be letting my mind play tricks on me here, folks take a close look at this picture and what do you see,¿ the 38-year-old posted to her Facebook, alongside a circled picture of the cathedral
Lesley was amazed to see she she says is the figure of Jesus in the Notre Dame flames
Some social media users were quick to agree with Lesley¿s claims, with one saying: ¿Looks like a figure of Jesus, or I am tripping?¿
Some social media users were quick to agree with Lesley¿s claims, with one saying: ¿Looks like a figure of Jesus, or I am tripping?¿

Maoni ya watu wengi walifananisha picha hiyo na picha ya Yesu ingawaje hakuna ushahidi wa kuaminika.

Kanisa la Notre Dame limeungua Jumatatu hii na ni moja ya makanisa maarufu barani Ulaya.

Tayari Rais wa Taifa hilo, Emmanuel Macron ameahidi kujenga upya kanisa hilo ndani ya miaka mitano.

Rais wa Marekani, Donald Trump naye ameahidi serikali yake kuchangia katika ujenzi wa Kanisa hilo lililojengwa karne ya 12.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents