BurudaniHabari

Zaylisah aeleza sababu za kumkubali Manara

Zaylisah ameeleza kwa urefu sababu za kumkubali @hajismanara kuwa mpenzi wake licha ya kuona mambo ya @hajismanara kuhusu kuachana na wake zake.

Zaylisah anasema kuwa yeye hapendi kuzini na ndio maana anaitaka Ndoa. Mbali na hilo @zaiylissa amegoma kabisa kuzungumza lolote linalomhusu aliyekuwa mume wake @dullamakabila

Lakini @zaiylissa amesema dada yake na @dullamakabila @amina_vikoba ni rafiki yake na ni kama Dada yake.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents