FahamuHabariTechnology

Zifahamu nchi 15 barani Afrika zenye Mtandao wenye kasi ya 5G

Baada ya mtandao wa Vodacom nchini Tanzania kuzindua Mtandao wa 5G nchini Tanzania, imeifanya nchi ya Tanzania kuungana na nchi zingine 14 na kufanya orodha ya mataifa 15 tu kati ya mataifa 54  yanayounda bara hili zinzotumia mtandao wenye uwezop wa 5G baada ya kutoka kwenye 4G.

Yafahamu mataifa hayo 15 yenye mtandao wenye uwezo wa 5G.

  1. Botswana  
  2. Egypt  
  3. Ethiopia  
  4. Gabon  
  5. Kenya  
  6. Lesotho  
  7. Madagascar  
  8. Mauritius  
  9. Nigeria  
  10. Senegal  
  11. Seychelles  
  12. South Africa  
  13. Tanzania  
  14. Uganda  
  15. Zimbabwe

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents