Zuchu alivyomjaza hela kijana aliyekutana naye Mlimani City katika duka la @infinixmobiletz , atoa zawadi
Msanii wa muziki @officialzuchu Jumamosi hii alifika Mlimani City jijini Dar Es Salaam na kukutana shabiki yake ambaye alionyesha uwezo mkubwa wakuimba na kumjaza manoti.
Balozi huyo wa @infinixmobiletz alitembelea Mlimani City kwaajili ya kutoa zawadi ndani ya duka hilo la simu.