Bongo5 ExclusivesBurudaniHabariMahojiano

Zuchu ashambuliwa na mashabiki mtandaoni

Msanii wa muziki wa Bongo Fleva @officialzuchu amejibishana na mashabiki zake mtandaoni baada ya kushauriwa abadili stylist.

@officialzuchu amewaonya mashabiki wake na kuweka wazi kuwa hawezi kusikiliza ushauri wao.

Mashabiki wengi wamemwambia @officialzuchu abadili uvaaji wake maana ameshakuwa msanii mkubwa hivyo aendane na jina lake.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents