Baadhi ya wasanii wa kundi la muziki la WCB wakiwa ndani ya ukumbi wa bunge jijini Dodoma, kujionea shughuli mbalimbali zinazofanywa na wabunge wa bunge la Jamhuri ya Muungano. @officialzuchu @iamlavalava @mbosso_
Wasanii hao wakionekana kufuatilia kwa makini Kikao cha 58 cha Bunge la 12 Leo Bungeni Dodoma. Baadaye watajumuika na Wabunge kwenye Hafla Maalum.