Burudani

Bambo afunguka chanzo cha kumchukia Diamond “anaroho mbaya”

Licha ya maneno yanayoendelea kwenye mitandao ya kijamii kufuatia Mchekeshaji @bambocomedian kuonekana kutomkubali msanii Diamondplatnumz Bambo amefunguka kuhusu chanzo cha kumchukia msanii huyo ya kwamba Diamond aliwatuma wasaidizi wake wawashushe yeye na mchekeshaji Mtanga kwenye shughuli za Mwenge Mbele ya Mh Waziri

Video nzima katika akaunti yetu ya youtube ya Bongo5

Written and edited by @abbrah255 Camera man @Johnbosco_mbanga

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents