Michezo
Manula kutimkia Singida Black Stars
Kuelekea msimu ujao wa Ligi inasemekana huenda mlinda mlango wa sasa wa klabu ya Simba Aishi Manula akajiunga na Klabu ya Singida Black Stars (Ihefu) katika dirisha kubwa la Usajili.
Manula amekuwa nje ya kikosi cha Simba kwa muda mrefu akisumbuliwa na majeraha huku Golikipa Ayoub Lakred na Ally Salim wakiziba vyema pengo lake.
Imeandikwa na Mbanga B.