Habari
Serikali ya Tanzania yakanusha vifo 50 vya Corona vilivyoripotiwa Kenya
![](https://bongo5.com/wp-content/uploads/2020/05/95404105_560123321583739_7720326874650341692_n.jpg)
Kupitia ukurasa wa Msemaji mkuu wa Serikali ya Tanzania wa Twitter umepost ujumbe huu:-
“Huu ni uandishi au “uhandisi” wa habari? Inasikitisha kuona jinsi @ntvkenya inavyokuwa wakala wa uongo na uzushi. Nawakumbusha wazandiki hawa kuenzi misingi ya taaluma badala ya umaamuma”
Huu ni uandishi au "uhandisi" wa habari? Inasikitisha kuona jinsi @ntvkenya inavyokuwa wakala wa uongo na uzushi. Nawakumbusha wazandiki hawa kuenzi misingi ya taaluma badala ya umaamuma. pic.twitter.com/aZmoGzAv8V
— Msemaji Mkuu wa Serikali (@TZMsemajiMkuu) April 30, 2020