Habari
Ajali ya ndege mkoani Tabora yasababisha vifo vya watu wawili
Ajali ya ndege Tabora na yasababisha vifo vya watu wawili
Ajali ya ndege imetokea mkoani Tabora na kusababisha vifo vya watu wawili ambao ni rubani wa ndege hiyo na abiria wake.
Watu hao ni raia wa Afrika Kusini na walikuwa wakielekea nchini Malawi.
#AzamTVBreakingNews
Ajali ya ndege imetokea mkoani Tabora na kusababisha vifo vya watu wawili ambao ni rubani wa ndege hiyo na abiria wake.
Watu hao ni raia wa Afrika Kusini na walikuwa wakielekea nchini Malawi.#AzamTVUpdates #AzamTVApp #AzamUTV pic.twitter.com/R797X8oLWM— Azam TV (@azamtvtz) August 3, 2019
By Ally Juma.