Burudani

Bambo afunguka ukaribu wake na Harmonize akiri kupewa vibunda

Katika mazungumzo na Bongo5 tv Mchekeshaji @bambocomedian amefunguka kuhusu ukaribu wake na msanii wa muziki @harmonize_tz kwamba msanii huyo anaroho ya kibinadamu na mara nyingi hupewa Vibunda kutoka kwa msanii huyo

Video nzima katika akaunti yetu ya youtube ya Bongo5

Written and edited by @abbrah255 Camera man @Johnbosco_mbanga

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents