BurudaniVideos

‘Binti’ imefanikiwa kuwa filamu ya kwanza ya Tanzania kuonekana Netflix duniani kote (+ Video)

Siku ya leo washiriki wa movie ya Binti wamezungumza na wana habari wakieleza furaha yao baada ya movie yao hiyo kuchaguliwa na Netflix kuwa itaonekana dunia nzima badala ya Afrika tu kama movie zingine zinavyoonyesha na Netflix Afrika.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents