Michezo
CEO wa Simba akubali yaishe
Kwa mujibu wa chanzo changu makini ndani ya Simba kilifanyika kikao kizito kutathimini mikakati na mwenendo wa Klabu ya Simba.
Maamuzi yamefanyika tayari, Mtendaji Mkuu wa Simba, Imani Kajula amekubali kuachia nafasi yake na klabu inatarajia kuleta CEO mpya kutoka Afrika Kusini.
Imeandikwa na Mbanga B.